uwakiki orphanage center

Deutsch | English | Swahili

Maeneo ya kufanya kazi

Mwaka 2001 watoto yatima 75 (umri wao kuanzia miaka mitatu mpaka sita) walisaidiwa na UWAKIKI. Watoto walichukuliwa na familia nyingine ambao waliwalea katika chekechea walifundishwa bila kulipa ada yoyote.

Mpango wa kuingia katika chekechea ni njia ya kuwatayarisha watoto kuingia katika shule ya msingi.

Pamoja na vifaa vya shule, watoto hupata chakula na madawa. Baada ya kumaliza chekechea watoto wanapatiwa sare za shule, ambayo ni kitu cha lazima katika shule za Tanzania.

Maeneo ya kufanya kazi